top of page
Painted Space
Furaha Thabiti Cover page_edited_edited_
4.png

Mahitaji Yetu Mawili ya Muhimu Zaidi

"Kila mmoja wetu ana haja ya kuokolewa na kusaidiwa, kwa upande mmoja, na haja ya kusudi na maana, kwa upande mwingine."

7.png

Mungu Hututia Nguvu Kupitia Wengine

"Yesu aliwatunza wale kumi kwa kumtunza Petro. Aliyeimarishwa anakuwa mwenye kuimarisha."

10.png

Maana Ya Kumuombea Adui Yako

"Kuombea adui zako ni aina ya upendo mkuu, ukitamani mema, wokovu, na furaha yao ya milele."

13.png

Aibu Iliyowekwa Vizuri ni Ipi?

"Kigezo cha kibiblia cha aibu inayofaa kinasema, Jisikie aibu kwa kushiriki katika chochote kinachomdhalilisha Mungu."

16.png

Zungumza na Machozi Yako

"Ikiwa tutakula majira ya baridi yajayo, lazima tutoke kwenda shambani na kupanda mbegu, iwe tunalia au la."

19.png

Rehema kwa ajili ya Leo

"Rehema za leo ni za shida za leo. Rehema za kesho ni za shida za kesho."

 

22.png

Kesho Njema kwa Walioshindwa

"Hii ndiyo Injili: Ingawa mmefanya dhambi na kumwaibisha Bwana, na ingawa mlichagua kujitawala kwa dhambi, bado kuna tumaini na rehema."

25.png

Sababu Tano za Kutokuwa na hofu


"Tukimuona Mungu ni wa thamani kwa namna hii, hatutakuwa na hofu na Mungu ataabudiwa."
 

28.png

Wokovu wa Paulo Ulikuwa Kwa Ajili Yako

"Mungu alikuwa anakuwaza wewe alipomchagua Paulo na kumwokoa kwa neema yake kuu kama alivyofanya."

31.png

Mabadilishano Makuu

"Hatuwezi kusisitiza vya kutosha kwamba Kristo ni jibu la Mungu kwa tatizo letu kubwa zaidi. Yote ni kwa sababu ya Kristo."

2_edited.png

Faraja Yetu Inapotoka

"Pilato ana mamlaka. Herode ana mamlaka. Wanajeshi wana mamlaka. Shetani ana mamlaka. Lakini hakuna aliye na mamlaka huru, ya kujitegemea."
 

5_edited.png

Mungu anafurahia kukutendea mema

"Mungu hafanyi mema kwa watoto wake kwa kusitasita—ni furaha yake kuu kututendea mema daima!"

8_edited.jpg

Ninawezaje Kujazwa na Roho?

"Ni neno la ahadi linalotujaza tumaini, linalotupa furaha inayofurika kwa nguvu na uhuru wa kumpenda jirani yetu."

12_edited.jpg

Tumwabudu MwanaKondoo

"Tunamheshimu na kumwabudu Kristo kwa maombi yetu duniani, tukifurahia kwamba yatatolewa mbinguni kama uvumba wenye harufu nzuri."

15_edited.jpg

Yesu ni Amina ya Mungu

"Tunamheshimu na kumwabudu Kristo kwa maombi yetu duniani, "Katika Yesu Kristo, Mungu anasema Ndiyo yake kwetu kupitia ahadi zake; na katika Kristo tunasema Ndiyo yetu kwa Mungu kupitia maombi." 

18_edited.jpg

Yesu Atamaliza Kazi

"Misheni haiwezi kushindwa, kwa maana Kristo, anayetengeneza siku zijazo, ameahidi: ‘Injili hii ya ufalme itahubiriwa ulimwenguni kote."

21_edited.jpg

Muhtasari wa Injili kwa hoja Sita

"Kristo pia aliteseka mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili ya wasio haki, ili atulete kwa Mungu."

24_edited.png

Duka la Peremende za Shetani

"Kristo aliteseka na kufa kunikomboa, kwa hiyo nimekufa kwa dhambi. Alikufa kununua kitu cha thamani zaidi kuliko raha za dhambi."

27_edited.png

Kutosheka Milele

"Yesu ndiye mwisho wa safari yetu ya kutosheka—hakuna kitu zaidi, na hakuna kilicho bora zaidi."

30_edited.png

Pale Wote Watakapokuacha

"Unapoachwa na marafiki, Je, unalia dhidi ya Mungu au unapata ujasiri katika ukweli kwamba Mungu yuko pamoja nawe daima?"

33_edited.jpg

Nini Hufunga Mikono ya Upendo?

"Tatizo la kanisa leo si shauku ya kwenda mbinguni, bali ni Wakristo kutumia muda kidogo kusoma Maandiko na muda mwingi kutafuta pesa."

3_edited.png

Upendo Mkuu

"Mungu anatupenda kwa kutuonyesha ukuu wake, si kwa kutufanya kuwa wakuu. Kufika mbinguni na kujiona sisi  kuwa wakuu ingekuwa huzuni kuu"

6_edited.png

Kutukanwa Hapa, Kulipwa Kule

"Mtunga-zaburi anaposema, “Katika yote ayatendayo hufanikiwa,” anaelekezea kwenye maisha baada ya kifo, ambapo ustawi wa kweli utaonekana."

9_edited.jpg

Bora Kuliko Pesa, Ngono na Mamlaka

"Ngono, pesa, na mamlaka ni taswira hafifu ya kweli na raha za juu zaidi zitakazovifanya hivi kuonekana kama miayo."

12_edited.jpg

Riziki ya  Lincoln

"Ni jambo la kushangaza jinsi mateso ya kibinafsi na ya kitaifa yalivyomvuta Lincoln katika ukweli wa Mungu, badala ya kumsukuma mbali."

15_edited.jpg

Kila Hatua ya Kalvari Ilikuwa ya Upendo

"Kila hatua kwenye barabara ya Kalvari ilimaanisha, “Nakupenda.”"

18_edited.jpg

Wakati Wewe Huwezi Kufa

"Wewe pia una ushuhuda wa mwisho wa kutoa, na hautakufa mpaka uutoe."

21_edited.jpg

Mtumishi wetu, Yesu

"Haimvunjii heshima kusema kwamba yeye peke yake ndiye anayeweza kutuhudumia kwa kile tunachohitaji zaidi."

24_edited.jpg

Mungu Hufungua Moyo

"Ikiwa wewe ni muumini wa Yesu: Uliteuliwa kuamini, ulipewa kutubu, na Bwana akafungua moyo wako."

27_edited.jpg

Athari Kali za Ufufuo

"Tumaini la ufufuo lilibadili maisha ya Paulo, likimkomboa kutoka kupenda mali na ulaji, na kumwezesha kuishi bila starehe zisizo za lazima"

2_edited.png

MAANA YA KIFO CHA YESU KWA KIFO CHETU

"Tatizo kuu maishani mwako ni upatanisho na Mungu. Kifo cha Kristo ni dhabihu ya kubeba dhambi zetu, alizibeba na kufa kifo tulichostahili"

5_edited.png

ADUI YETU ASIYE NA MENO

Shetani anaweza kutuumiza kimwili na kihisia—hata kutuua. Anaweza kutujaribu na kuwachochea wengine dhidi yetu. Lakini hawezi kutuangamiza.

8_edited.png

PATA USICHOWEZA KUPOTEZA

"Yeye sio mpumbavu ambaye hutoa asichoweza kuhifadhi ili kupata kile ambacho hawezi kupoteza."

11_edited.png

SHAUKU KWA AJILI YA MUNGU NA UKWELI

"Kutojali ukweli ni kutojali kuhusu Mungu. Kumpenda Mungu kwashauku ni kupenda ukweli kwa shauku kubwa."

14_edited.png

DIRISHA LA MOYO

"Akili ni dirisha la moyo. Tukiacha akili zetu zidumu kwenye giza, moyo utahisi giza.  Tukifungua  akili zetu kwa nuru, moyo utahisi mwanga"

17_edited.png

Imani ya Kweli Ina shauku ya Kuja kwa Kristo

"Kumtarajia Kristo kwa shauku ni ishara tu kwamba tunampenda na kumwamini — tunamwamini kweli kweli."

20_edited.png

VITA VYA KUKUMBUSHA

"Pasipo kukumbuka ukuu, neema, nguvu, na hekima ya Mungu, tunaingia katika hali ya kukata tamaa inayoumiza."

23_edited.jpg

Nenda moja kwa moja kwa Mungu

"Yesu anasema unaweza kwenda kwa Baba moja kwa moja kwani “Baba mwenyewe anawapenda ninyi.”

26_edited.png

MTOAJI ANATAPA UTUKUFU

"Ni habari njema sana kwamba Mungu anatengeneza utukufu wake ukuzwe kupitia matumizi ya neema yake."

29_edited.png

IMESABABISHA KURUDI

"Hakuna matumaini kwa watu wa Mungu isipokuwa Mungu awaongoze kutoka katika kuteleza na kurukaruka katika dhambi na kutokuamini."

5.png

Bora Kuliko Kilimanjaro


"Ukiishi ndani ya ahadi hii kubwa, maisha yako ni imara na thabiti kuliko Mlima Kilimanjaro."
 

8.png

Vitabu Vitavyosomwa katika Hukumu

"Wokovu wake utahakikishwa kwa damu ya Kristo. Jina lake litakuwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyekufa."

11.png

Mfanye Shetani Ajue Kushindwa Kwake 

"Agano Jipya linafundisha kwamba kifo na ufufuo wa Kristo vilimshinda Shetani kabisa, na nguvu zake dhidi ya watu wa Mungu zimevunjwa."
 

14.png

Divai ya Mfalme Mkuu

"Kujifunza utii ni kukua na Mungu kupitia uzoefu wa utii na kujisalimisha kupitia mateso. Bila maumivu, hakuna mafanikio."

17.png

Omba kwa ajili ya Kujulikana Kwake


"Mungu anafurahia jina lake lijulikane na kuheshimiwa."

20.png

Kumkumbatia Yesu

"Imani ya kweli inamkumbatia Kristo kwa njia zozote ambazo Maandiko yanamshikilia kwa wenye dhambi maskini"

 

23.png

Kuogopa Kupotea

"Wema huu hauna mipaka, unadumu milele, na unajumuisha yote. Kuna wema pekee kwa wanaomcha. 
Kila kitu hufanya kazi kwa manufaa yao."

 

26.png

Tafuta Ustawi wa Jiji lako

"Tenda mema mahali Mungu alikokutuma kwa utukufu wake. Tuishi kwa matendo mema ili wenyeji watamani kumjua Mfalme wetu."
 

29.png

Uliumbwa kwa ajili ya Mungu

“Sisi ni watu wa Mungu kwa ajili ya jina lake. Kusudi letu ni kuutangaza utukufu wake.”

 

32.png

Siku Imekaribia

"Yesu alishinda dhambi na maumivu na kifo na Shetani alipokufa na kufufuka tena. Vita vya maamuzi vya vizazi vimekwisha. Ufalme umefika."
 

3_edited.png

Jivike silaha kupitia Ahadi hizi

"Kuwa na ahadi zinazofaa wakati wa majaribu ni ufunguo wa kushinda ahadi za dhambi kwa nguvu ya ahadi kuu ya Mungu."

 

6_edited.jpg

Mtazame Yesu kwa ajili ya Furaha Yako

"Mwasho wa kujipenda hutafuta kujiridhisha, lakini nafsi haikuundwa kujitosheleza."

9_edited.png

Fungua Madirisha ya Moyo Wako

"Kuwa na ahadi zinazofaa wakati wa majaribu ni ufunguo wa kushinda ahadi za dhambi kwa nguvu ya ahadi kuu ya Mungu."

13_edited.jpg

Kweli Mbili Zenye Nguvu na Upole Usio na Kifani

"Ukuu na rehema ya Mungu ni nguzo zisizoyumbishwa—tumaini langu la baadaye, nguvu yangu kwenye huduma, na tiba yaangu kwenye kukata tamaa."

16_edited.jpg

Ushindi Ni Hakika

"Ushindi huu ni hakika kwa sababu Mungu ndiye anayeufanya. Kwa hiyo tunaweza kuwa na uhakika."

19_edited.png

UHAKIKA wa Maombi

"“Amina” inamaanisha, “Ndiyo, Mungu ametoa ahadi hizi zote.” Inathibitisha uwezo, hekima, huruma, na neema ya Mungu."

22_edited.png

Yesu Alikufa kwa Ajili ya Wakati Huu

"Injili ya Yesu Kristo inang'aa zaidi—‘aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu’. Nilihitaji Mwokozi, na Yesu pekee ndiye anayefaa."

25_edited.png

Ujinga Unapelekea Kutokumcha Mungu

"Soma, tafakari, na jadili ukweli wa Mungu, kwani kutomjua Mungu huhakikisha kutomcha Mungu."

28_edited.jpg

Jinsi ya Kufurahia Neno la Mungu

"Usipunguze Ukristo kuwa madai na maazimio—ni suala la kile tunachopenda, kile tunachofurahia, na kile chenye ladha nzuri kwa roho zetu."

31_edited.png

NI HAKIKA kama upendo wa Mungu kwa Mwana wake

"Kuna maumivu na vikwazo maishani, lakini naamini Mungu hupunguza uharibifu wa changamoto hizi ili kuongeza furaha yangu ndani yake."

1_edited.jpg

Imejumuishwa katika Agano

"Yeyote anayekuja kwa Mungu kupitia Yesu Kristo akiwa na kiu ya kile Mungu alicho ndani ya Kristo, Mungu atafanya agano naye."

4_edited.png

Njia Tano Ambazo Mateso Husaidia

"Mateso hutulazimisha kumtegemea Mungu zaidi, Hutufanya tuwe karibu na lengo la neno lake, huku yakifisha tamaa za kimwili."

7_edited.jpg

Mafanikio Ya Dakika Za Mwisho

"Jipe moyo, mpiganaji. Endelea kuuliza, kutafuta, na kumwangalia Kristo. Mungu ana makusudi kwa kuchelewesha mafanikio yako."

10_edited.jpg

Imani Inayookoa Hairidhiki kwa Urahisi

"Watu wengi hudhoofisha imani iokoayo kwa kuiona kama uamuzi tu, bila mabadiliko ya tamaa na malengo."

13_edited.jpg

Mji Mzuri

"Mji wa Mungu utakuwa mkamilifu na utajawa na mema, matakatifu, mazuri, amani, kweli, na furaha kwasababu ya Uwepo wa Mungu."

16_edited.jpg

Wakati Utiifu Unapoonekana Kutowezekana

"Kwa wengi wenu, utii huhisi kama mwisho wa ndoto, ukihisi kuwa kumfuata Mungu kutaleta huzuni, na Mungu hawezi kubadilisha yote kwa mema"

19_edited.jpg

Aina ya Baridi Inayouaa

"Mungu anasema, “Iwe joto, baridi, juu, chini, ukali, ubutu, sauti kubwa, tulivu, angavu, giza . . . usicheze na mimi. Mimi ni Mungu."

22_edited.jpg

Kufurahia Utimilifu Wake

"Kutoka kwa utimilifu wa Neno, tunapokea neema isiyo na kikomo"

25_edited.png

Unapendwa Sana

"Ukimwona Yesu kama hazina yako kuu na kumpokea, unapendwa sana na Muumba wa ulimwengu."

28_edited.png

Tumehesabiwa Haki Kikamilifu

"Mungu akikusamehe na kukutangaza mwadilifu, hakuna rufaa au makosa yanayoweza kutafutwa dhidi yako."

3_edited.png

IMANI NDOGO KULIKO ZOTE

"Yote tutakayopata kutoka kwa Mungu mwaka huu, kama waumini katika Yesu, ni rehema, iwe raha au maumivu."

6_edited.png

MAPENZI YA MUNGU NI KWAMBA UMKARIBIE

"Haya ni mapenzi ya Mungu kwako, hata unaposoma haya maandishi. Hii ndiyo sababu ya kifo cha Kristo: ili umkaribie Mungu."

9_edited.png

MUDA KIDOGO TU

"Mungu ni "Mungu wa neema yote," akijumuisha hazina isiyo na kikomo ya neema ya wakati ujao tunayoihitaji kuvumilia hadi mwisho."

12_edited.png

UFUNGUO WA UZOEFU

"Njia ya kutii amri ya kuzaliwa ni kupata zawadi ya uhai na pumzi, kisha kumlilia Mungu kwa imani, shukrani, na upendo."

15_edited.png

UHURU WA NEEMA

"Tendo gani lingekuwa la upande mmoja zaidi, na lisilohitaji maelewano kuliko mtu mmoja kumfufua mwingine kutoka kwa wafu! Hii ndio neema!"

18_edited.png

DAWA YA KIBURI

"Kiburi hakiwezi kustahimili ushirika wa karibu wa Mungu katika kuendesha ulimwengu na maisha ya kila siku."

21_edited.png

NANGA YA FURAHA

"Furahini katika hili: majina yenu yameandikwa mbinguni. Urithi wenu ni wa hakika na wa milele."

24_edited.png

KUTUMIKIWA KWA KUWATUMIKIA WENGINE

“Naye Mungu wangu atawajaza ninyi na kila mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu."

27_edited.png

Anaijua Haja Yako

"Lakini Baba yetu wa mbinguni anajua kila kitu kuhusu sisi, na mahitaji yetu yote."

30_edited.png

NEEMA INAYOTAWALA

"Neema ya Mungu inashinda ukaidi wetu kwa kuumba sifa mahali ambapo haikuwepo."

6.png

Jinsi ya Kujibu Unapokosea

"Hakuna unafiki. Hakuna kujifanya. Hakuna ukamilifu wa kujivunia. Hakuna tabasamu bandia au furaha ya juu juu."
 

9.png

Njia Mbili za Kumkumbuka Yesu

"Haijalishi ukali wa mateso, baya zaidi la kutokea duniani ni kifo, lakini Yesu ameondoa uchungu wa kifo. Yuko hai, nawe utakuwa hai."
 

12.png

Zungumza na Mungu, Sio tu Kumhusu 

"Somo tunaloweza kujifunza kutoka kwa muundo huu ni kwamba ni vizuri kutozungumza kwa muda mrefu juu ya Mungu bila kuzungumza na Mungu."
 

15.png

Huwezi kushindwa Mwishoni 


"Muamini na uende naye, haijalishi nini kitatokea. Huwezi kushindwa mwishowe."

18.png

Usiwe Kama Nyumbu

"Njia ya kuepuka kuwa kama nyumbu ni kujinyenyekeza, kuomba, kukiri dhambi, na kukubali mwongozo wa Mungu kwa ulinzi na riziki."

21.png

Mungu, Iguse Mioyo Yetu

"Ee Bwana, njoo. Njoo karibu zaidi. Njoo kwa moto, kwa maji, kwa upepo au tetemeko. Au njoo kwa utulivu na upole. Njoo mpaka utufikie sisi"

24.png

Ufunguo wa Upendo Thabiti

"Kumpenda adui yako haikupatii thawabu ya mbinguni. Kuithamini thawabu ya mbinguni kunakupa uwezo wa kumpenda adui yako."
 

27.png

Nguvu ya Ukombozi ya Msamaha

"Lazima tupambane na kutoamini na aibu inayolemaza kwa kushikilia ahadi za neema na amani zinazokuja kupitia msamaha wa matendo yetu."

30.png

Watoto wa Mungu Anayeimba



"Loo, siwezi kusubiri kumsikia Yesu akiimba!"
 

33.png

Mbinu Kumi na Tano za Furaha

"Katika maisha haya ya dhambi na maumivu, furaha inahitaji kupiganiwa kama imani. Paulo anatuambia, “Pigana vile vita vizuri vya imani."
 

4_edited.png

Mungu Hufanya Kazi Kupitia Maazimio Mema

"Mungu kamwe hataonekana kwa nguvu katika nia yako kwa njia nyingine yoyote isipokuwa kupitia matumizi yako ya nia."

7_edited.png

Mungu Huwathamini Wanyonge

"Ni askari waliojeruhiwa pekee wanaoweza kutoa huduma katika huduma ya upendo—maumivu yako ni maandalizi ya huduma ya thamani kwa Yesu."

10_edited.png

Mungu Anakujali

"Kuweka wasiwasi wetu kwa Mungu ni unyenyekevu, wasiwasi usiofaa ni aina ya kiburi kisichotaka kumtegemea Yeye aliye na nguvu zote."

14_edited.jpg

Mfinyanzi Anapokuwa Kwa Ajili Yetu

"Je, kuna kitu kinachofariji zaidi kuliko ukweli kwamba Muumba yupo pamoja nasi? Kwa nguvu zake zote, yupo upande wetu!"

17_edited.png

Wanamapinduzi kwa Ajili ya Mwokozi

"Kristo ameanzisha mapinduzi dhidi ya ufalme wa Shetani, akiwaita watu wake kuwa wanamapinduzi wa wokovu."

20_edited.png

Kwanini Tushikilie Matumaini Yetu Kwa Uthabiti

"Inyooshe mikono yako na ushike kile ambacho umepewa na Kristo, na ukishikilie kwa nguvu zako zote — kama anavyofanya kazi kwa ukuu."

23_edited.png

Ahadi Bora zaidi ya Mungu

"Hakuna wakati ambapo ahadi ya Warumi 8:32 itakosa umuhimu. Ahadi hii haiwezi kushindwa."

26_edited.jpg

Huduma na Hofu ya Mwanadamu

"Uwepo na kibali cha Mungu ni vya thamani zaidi kuliko sifa za wanadamu—Yeye ndiye anayekuhifadhi na kukuokoa, na atakuwa pamoja nawe daima"

29_edited.png

Matokeo 10 ya Ufufuo wa Yesu

"Ufufuo wa Yesu ni msingi wa imani ya Kikristo, unatupatia uzima mpya, msamaha wa dhambi, Roho Mtakatifu, na uhakikisho wa wokovu."

32_edited.jpg

Akiita, Anatunza

"Maandiko yanaonyesha Mungu ni mwaminifu na atawahifadhi milele wale aliowaita, akifanya chochote ili tuendelee kumtumaini."

2_edited.png

Mzunguko wa Msamaha

"Yesu anafundisha kuwa Mungu alitusamehe tulipomwamini Kristo (Matendo 10:43), na kutokana na msamaha huo, tunawasamehe wengine."

5_edited.jpg

Madhumuni Makuu ya Huduma

"Jehanamu iko hatarini kati ya kurudi nyuma au kuvumilia. Tunaonyana: Usiyumbishwe, usitange mbali, usiipende dunia."

8_edited.jpg

Je, Unafurahi Kuwa Wewe Si Mungu?

"Ulimwengu uliumbwa ili tuustaajabu na kumtukuza Mungu, hili ndilo lengo na mwisho wa kuridhisha wa mambo yote."

11_edited.jpg

Aina Bora ya Utumwa

"Ubwana wa Yesu uko juu ya mabwana wote; ukombozi wetu upo salama.
Uhuru wetu una mipaka kwa rehema zake. Yesu ni Bwana wetu."

14_edited.jpg

Kristo kama Njia na Hatima

"Yesu Kristo ni ufunuo mkuu wa Mungu, na njia ya kufurahia utukufu wa Mungu kupitia wokovu. Bila Kristo, kusudi la ulimwengu lingeisha."

17_edited.jpg

Miundo Mizuri ya Mungu

"Ah, jinsi gani mipango ya Mungu ni tamu katika wokovu wa enzi wa wenye dhambi waliokosa tumaini na waliokauka mioyo!"

20_edited.jpg

Kushangazwa na Ufufuo

"Laana ya asili yetu ni kwamba tunachokifurahia huanza kuonekana kama kitu cha kawaida. Ukweli haujabadilika; sisi tumebadilika."

23_edited.jpg

Saa ya Tishio Lisilo la Kawaida

"Wakristo wengi ulimwenguni leo hawajui hatari ya kumwamini Kristo, 
tumezoea uhuru bila mateso, kana kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa."

26_edited.jpg

Mungu Anapokuwa Kwa Ajili Yetu 100%

"Kupitia imani ndani ya Kristo, ghadhabu ya Mungu iliondolewa na Mungu yupo kwa ajili yetu 100%."

1_edited.png

Faraja Yetu Inapotoka

Imejumuishwa katika Agano

4_edited.png

TUMAINI KWA WAKRISTO WASIO WAKAMILIFU 

“Kristo, leo nimefanya dhambi. Lakini naichukia dhambi yangu. Kwa maana umeandika sheria moyoni mwangu, na ninatamani kuifanya."

7_edited.png

NEEMA ILIYOKATALIWA NA ILIYOTOLEWA

“Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hukamilishwa katika udhaifu.”

10_edited.png

JINSI WAUMINI WATAKAVYO HUKUMIWA

"Mapungufu na makosa ya waumini yataonekana Siku ya Hukumu, lakini dhambi hizi zitaonyeshwa kama dhambi zilizosamehewa"

13_edited.png

AMRI INAYOTENGENEZA

"Njia ya kutii amri ya kuzaliwa ni kupata zawadi ya uhai na pumzi, kisha kumlilia Mungu kwa imani, shukrani, na upendo."

16_edited.png

MANENO YA UPEPO

"Kurejesha nafsi, sio kukemea kidonda, ni lengo la upendo wetu"

19_edited.png

JINSI YA KUMTUMIKIA BOSI MBAYA

"Paulo anasema kazi zetu zote zinapaswa kufanywa kama kazi kwa ajili ya Kristo, sio kwa msimamizi wa kibinadamu."

22_edited.png

Tutatawala Vitu Vyote

"Yesu anajaza ulimwengu kwa utawala wake tukufu kupitia sisi."

25_edited.png

KUCHELEWESHWA KWA UKOMBOZI

"Mungu huwaokoa watu wake kutokana na madhara fulani, sio yote. Hii inafariji kwani vinginevyo tunaweza kudhani ametusahau au ametukataa."

28_edited.png

JINSI YA KUTUBU

"Hisia mbaya zisizoeleweka kwamba wewe ni mtu mbaya si sawa na kuhukumiwa kwa dhambi. Kuhisi kuoza sio toba."

31_edited.png

MAKUSUDI MATANO YA MATESO

"Mateso haya ya muda mfupi yanatuandalia uzito wa milele wa utukufu usio na kifani."

100Fold Logo

NJIA ZA KUTUFUATILIA

  • Youtube
  • WhatsApp
  • Email
  • Facebook
  • Instagram
bottom of page